KUFUZU AFCON 2025 | Ujumbe wa Ahmed Ally wa Simba kwa Watanzania

Published: 02 September 2024
on channel: Azam TV
4,682
104

Dakika takribani saba za Meneja Habari na Mawasiliano wa Simba SC, Ahmed Ally akiwaita Watanzania kwenda kuujaza uwanja wa Benjamin Mkapa kwa ajili ya kuipa nguvu Taifa Stars kwenye mchezo wake dhidi ya Ethiopia.

Ni mchezo wa #KufuzuAFCON2025 ambao utapigwa Jumatano ya Septemba 4.

Ally Kamwe na Hasheem Ibwe hawajaacha ‘kumchokoza’


#AFCON2025 #KufuzuAFCON2025 #AFCONQ #AFCONQualifiers #TaifaStars #Tanzania #Ethiopia


Watch video KUFUZU AFCON 2025 | Ujumbe wa Ahmed Ally wa Simba kwa Watanzania online, duration hours minute second in high quality that is uploaded to the channel Azam TV 02 September 2024. Share the link to the video on social media so that your subscribers and friends will also watch this video. This video clip has been viewed 4,682 times and liked it 104 visitors.