“…tumetoa wachezaji 14….hii inaonesha kwamba tunauhudumia mpira wa Afrika sasa hivi”
– Afisa Habari wa Yanga, Ally Kamwe anauliza…Je, kuna timu gani imewahi kutoa wachezaji wengi kwenda kwenye timu zao taifa kwa wakati mmoja kama ilivyofanya Yanga wakati huu???
Kamwe pia anaeleza mipango ya timu kwa kipindi hiki ambacho ligi imesimama huku akiweka wazi kuwa watakuwa na mchezo wa kirafiki kama sehemu ya maandalizi kuiwinda CBE ya Ethiopia, lakini “…utakuwa ni mchezo wa ndani”.
#YangaSC #AllyKamwe
Watch video Ally Kamwe atamba: "Yanga tunauhudumia mpira wa Afrika" online, duration hours minute second in high quality that is uploaded to the channel Azam TV 02 September 2024. Share the link to the video on social media so that your subscribers and friends will also watch this video. This video clip has been viewed 6,136 times and liked it 81 visitors.