Azam FC yafunguka sababu za kumtimua kocha wake Youssouph Dabo na wasaidizi wake

Published: 03 September 2024
on channel: Azam TV
10,885
68

KUTOKA AZAM FC | "....timu nzuri tunayo, benchi la ufundi zuri tunalo... sasa kwanini hatuendi"

Afisa Habari wa Azam FC, Hasheem Ibwe anafichua kisa cha kuachana na kocha wao Youssoph dabo na wasaidizi wake wote akizitaja mechi za Ngao ya Jamii na Ligi ya mabingwa Afrika……

Ibwe pia ameeleza hatua waliyofikia katika mchakato wa kusaka kocha mpya akisema hadi sasa mchujo umebakiwa na makocha wanne kati ya wengi waliotuma maombi….


Watch video Azam FC yafunguka sababu za kumtimua kocha wake Youssouph Dabo na wasaidizi wake online, duration hours minute second in high quality that is uploaded to the channel Azam TV 03 September 2024. Share the link to the video on social media so that your subscribers and friends will also watch this video. This video clip has been viewed 10,885 times and liked it 68 visitors.