KUTOKA AZAM FC | "....timu nzuri tunayo, benchi la ufundi zuri tunalo... sasa kwanini hatuendi"
Afisa Habari wa Azam FC, Hasheem Ibwe anafichua kisa cha kuachana na kocha wao Youssoph dabo na wasaidizi wake wote akizitaja mechi za Ngao ya Jamii na Ligi ya mabingwa Afrika……
Ibwe pia ameeleza hatua waliyofikia katika mchakato wa kusaka kocha mpya akisema hadi sasa mchujo umebakiwa na makocha wanne kati ya wengi waliotuma maombi….
Смотрите видео Azam FC yafunguka sababu za kumtimua kocha wake Youssouph Dabo na wasaidizi wake онлайн, длительностью часов минут секунд в хорошем качестве, которое загружено на канал Azam TV 03 Сентябрь 2024. Делитесь ссылкой на видео в социальных сетях, чтобы ваши подписчики и друзья так же посмотрели это видео. Данный видеоклип посмотрели 10,885 раз и оно понравилось 68 посетителям.