“…tumetoa wachezaji 14….hii inaonesha kwamba tunauhudumia mpira wa Afrika sasa hivi”
– Afisa Habari wa Yanga, Ally Kamwe anauliza…Je, kuna timu gani imewahi kutoa wachezaji wengi kwenda kwenye timu zao taifa kwa wakati mmoja kama ilivyofanya Yanga wakati huu???
Kamwe pia anaeleza mipango ya timu kwa kipindi hiki ambacho ligi imesimama huku akiweka wazi kuwa watakuwa na mchezo wa kirafiki kama sehemu ya maandalizi kuiwinda CBE ya Ethiopia, lakini “…utakuwa ni mchezo wa ndani”.
#YangaSC #AllyKamwe
Смотрите видео Ally Kamwe atamba: "Yanga tunauhudumia mpira wa Afrika" онлайн, длительностью часов минут секунд в хорошем качестве, которое загружено на канал Azam TV 02 Сентябрь 2024. Делитесь ссылкой на видео в социальных сетях, чтобы ваши подписчики и друзья так же посмотрели это видео. Данный видеоклип посмотрели 6,136 раз и оно понравилось 81 посетителям.