KUFUZU AFCON 2025 | Ujumbe wa Ahmed Ally wa Simba kwa Watanzania

Опубликовано: 02 Сентябрь 2024
на канале: Azam TV
4,682
104

Dakika takribani saba za Meneja Habari na Mawasiliano wa Simba SC, Ahmed Ally akiwaita Watanzania kwenda kuujaza uwanja wa Benjamin Mkapa kwa ajili ya kuipa nguvu Taifa Stars kwenye mchezo wake dhidi ya Ethiopia.

Ni mchezo wa #KufuzuAFCON2025 ambao utapigwa Jumatano ya Septemba 4.

Ally Kamwe na Hasheem Ibwe hawajaacha ‘kumchokoza’


#AFCON2025 #KufuzuAFCON2025 #AFCONQ #AFCONQualifiers #TaifaStars #Tanzania #Ethiopia


Смотрите видео KUFUZU AFCON 2025 | Ujumbe wa Ahmed Ally wa Simba kwa Watanzania онлайн, длительностью часов минут секунд в хорошем качестве, которое загружено на канал Azam TV 02 Сентябрь 2024. Делитесь ссылкой на видео в социальных сетях, чтобы ваши подписчики и друзья так же посмотрели это видео. Данный видеоклип посмотрели 4,682 раз и оно понравилось 104 посетителям.