Tanzania Prisons 1-2 Mashujaa FC | Highlights | NBCPL 20/05/2024

Published: 20 May 2024
on channel: Azam TV
4,988
33

Tanzania Prisons imekubali kichapo cha mabao 2-1 ikiwa nyumbani Sokoine Stadium Mbeya kutoka kwa Mashujaa FC, ukiwa ni mchezo wa Ligi Kuu ya NBC, raundi ya 28.

Magoli ya Mashujaa yamefungwa na David Ulomi dakika ya 14 na Shaban Mgandila kwa penati dakika ya 20.

Prisons pia walipata pigo dakika ya 40 baada ya nahodha wao Jumanne Elifadhili kutolewa kwa kadi nyekundu.


Watch video Tanzania Prisons 1-2 Mashujaa FC | Highlights | NBCPL 20/05/2024 online, duration hours minute second in high quality that is uploaded to the channel Azam TV 20 May 2024. Share the link to the video on social media so that your subscribers and friends will also watch this video. This video clip has been viewed 4,988 times and liked it 33 visitors.