Tanzania Prisons 1-2 Mashujaa FC | Highlights | NBCPL 20/05/2024

Опубликовано: 20 Май 2024
на канале: Azam TV
4,988
33

Tanzania Prisons imekubali kichapo cha mabao 2-1 ikiwa nyumbani Sokoine Stadium Mbeya kutoka kwa Mashujaa FC, ukiwa ni mchezo wa Ligi Kuu ya NBC, raundi ya 28.

Magoli ya Mashujaa yamefungwa na David Ulomi dakika ya 14 na Shaban Mgandila kwa penati dakika ya 20.

Prisons pia walipata pigo dakika ya 40 baada ya nahodha wao Jumanne Elifadhili kutolewa kwa kadi nyekundu.


Смотрите видео Tanzania Prisons 1-2 Mashujaa FC | Highlights | NBCPL 20/05/2024 онлайн, длительностью часов минут секунд в хорошем качестве, которое загружено на канал Azam TV 20 Май 2024. Делитесь ссылкой на видео в социальных сетях, чтобы ваши подписчики и друзья так же посмотрели это видео. Данный видеоклип посмотрели 4,988 раз и оно понравилось 33 посетителям.