Majaliwa: Kwa vigezo hivi, Rais yuko sahihi kuipa Dodoma hadhi ya jiji

Published: 03 May 2018
on channel: Azam TV
3,004
10

Waziri Mkuu Kassim Majaliwa katika kipindi cha Maswali kwa Waziri Mkuu Bungeni leo, amesema kuwa Rais Magufuli alikuwa sahihi kwa mujibu wa sharia kuipandisha hadi Manispaa ya Dodoma kuwa jiji.

Majaliwa alikuwa akijibu swali la mbunge Viti Maalum kutoka mkoa wa Dodoma Felister Bulla huku akiweka wazi vigezo ambavyo vinaifanya Dodoma itoshe kuwa jiji.

Majaliwa pia ameeleza kuhusu mchakato wa kisheria wa kuitambua rasmi Dodopma kama jiji.


Watch video Majaliwa: Kwa vigezo hivi, Rais yuko sahihi kuipa Dodoma hadhi ya jiji online, duration hours minute second in high quality that is uploaded to the channel Azam TV 03 May 2018. Share the link to the video on social media so that your subscribers and friends will also watch this video. This video clip has been viewed 3,004 times and liked it 10 visitors.