Majaliwa: Kwa vigezo hivi, Rais yuko sahihi kuipa Dodoma hadhi ya jiji

Опубликовано: 03 Май 2018
на канале: Azam TV
3,004
10

Waziri Mkuu Kassim Majaliwa katika kipindi cha Maswali kwa Waziri Mkuu Bungeni leo, amesema kuwa Rais Magufuli alikuwa sahihi kwa mujibu wa sharia kuipandisha hadi Manispaa ya Dodoma kuwa jiji.

Majaliwa alikuwa akijibu swali la mbunge Viti Maalum kutoka mkoa wa Dodoma Felister Bulla huku akiweka wazi vigezo ambavyo vinaifanya Dodoma itoshe kuwa jiji.

Majaliwa pia ameeleza kuhusu mchakato wa kisheria wa kuitambua rasmi Dodopma kama jiji.


Смотрите видео Majaliwa: Kwa vigezo hivi, Rais yuko sahihi kuipa Dodoma hadhi ya jiji онлайн, длительностью часов минут секунд в хорошем качестве, которое загружено на канал Azam TV 03 Май 2018. Делитесь ссылкой на видео в социальных сетях, чтобы ваши подписчики и друзья так же посмотрели это видео. Данный видеоклип посмотрели 3,004 раз и оно понравилось 10 посетителям.