“Tumeanza kunogewa na kufanya vizuri” maneno ya Afisa Habari wa Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF), Cliford Mario Ndimbo akizungumzia maandalizi ya Taifa Stars na namna Watanzania walivyoanza kuzoea kuziona timu zao za taifa zikifanya vema kwenye anga la kimataifa.
Septemba 4, Taifa Stars itashuka dimbani kucheza dhidi ya Ethiopia katika mtanange wa #KufuzuAFCON2025
#KufuzuAFCON2025
Watch video TFF yasema Watanzania wameshazoea kuiona Stars ikifuzu kimataifa online, duration hours minute second in high quality that is uploaded to the channel Azam TV 31 August 2024. Share the link to the video on social media so that your subscribers and friends will also watch this video. This video clip has been viewed 850 times and liked it 16 visitors.