“Tumeanza kunogewa na kufanya vizuri” maneno ya Afisa Habari wa Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF), Cliford Mario Ndimbo akizungumzia maandalizi ya Taifa Stars na namna Watanzania walivyoanza kuzoea kuziona timu zao za taifa zikifanya vema kwenye anga la kimataifa.
Septemba 4, Taifa Stars itashuka dimbani kucheza dhidi ya Ethiopia katika mtanange wa #KufuzuAFCON2025
#KufuzuAFCON2025
Смотрите видео TFF yasema Watanzania wameshazoea kuiona Stars ikifuzu kimataifa онлайн, длительностью часов минут секунд в хорошем качестве, которое загружено на канал Azam TV 31 Август 2024. Делитесь ссылкой на видео в социальных сетях, чтобы ваши подписчики и друзья так же посмотрели это видео. Данный видеоклип посмотрели 850 раз и оно понравилось 16 посетителям.