Lionel Ateba amefunga goli katika mchezo wake wa kwanza ndani ya Simba, lakini likachomolewa kipindi cha pili na Serge Pokou dakika ya 76, na matokeo yakawa ni sare ya bao 1-1 kati ya Simba vs Al Hilal.
Ni mchezo wa kirafiki uliopigwa kwenye Dimba la KMC, Mwenge Dar es Salaam
Watch video Magoli | Simba SC 1-1 AL Hilal | Mechi ya Kirafiki 31/08/2024 online, duration hours minute second in high quality that is uploaded to the channel Azam TV 31 August 2024. Share the link to the video on social media so that your subscribers and friends will also watch this video. This video clip has been viewed 129,383 times and liked it 832 visitors.