EXCLUSIVE | Try Again alipotangaza kujiuzulu Simba SC huku akitaja mafanikio yake (Full Interview)

Published: 11 June 2024
on channel: Azam TV
34,197
331

Ni mahojiano maalum na Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi Simba SC, Salim Abdallah Muhene 'Try Again' ambaye ametangaza rasmi kuachia ngazi kwenye nafasi hiyo huku akiweka wazi sababu na kumuomba Muwekezaji Mohamed Dewji kurejea kwenye kiti hicho.

Katika mahojiano haya na Patrick Nyembera, Try Again pia ametaja mafanikio yake katika kipindi cha miaka saba ya uongozi wake, akifichua kuwa aliikuta Simba ikiwa haina hata ofisi.

Pia amezungumzia ishu ya usajili mbovu, sababu za kutimua makocha na suala la usaliti ndani ya timu akikiri kwamba "kuna baadhi ya wachezaji si waaminifu".

#TryAgain #PatrickNyembera #SimbaSC


Watch video EXCLUSIVE | Try Again alipotangaza kujiuzulu Simba SC huku akitaja mafanikio yake (Full Interview) online, duration hours minute second in high quality that is uploaded to the channel Azam TV 11 June 2024. Share the link to the video on social media so that your subscribers and friends will also watch this video. This video clip has been viewed 34,197 times and liked it 331 visitors.