CHEKECHE || Nini kifanyike vita ya Urusi na Ukraine imalizike 25/02/2023

Published: 25 February 2023
on channel: Azam TV
23,250
161

Zaidi ya watu 8,000 wamefariki dunia kufuatia vita kati ya Urusi na Ukraine huku zaidi ya watu 13,000 wakijeruhiwa.
Je, mwaka mmoja wa vita ya Urusi na Ukraine una maana gani kwa usalama wa dunia na athari za kiuchumi kwa ujumla.

Moses Mohamed anaungana na wachambuzi wa kimataifa AbdulAziz Jaad, Abdulshakur Aboud na Maggid Mjengwa kujadili mwaka mmoja wa vita hivyo.


Watch video CHEKECHE || Nini kifanyike vita ya Urusi na Ukraine imalizike 25/02/2023 online, duration hours minute second in high quality that is uploaded to the channel Azam TV 25 February 2023. Share the link to the video on social media so that your subscribers and friends will also watch this video. This video clip has been viewed 23,250 times and liked it 161 visitors.