Simba SC imepokea kichapo kizito cha mabao 5-1 kutoka kwa Yanga katika mchezo wa Ligi Kuu ya NBC #NBCPremierLeague kwenye Dimba la Benjamin Mkapa, Dar es Salaam.
Yanga walianza dakika ya 3 kwa goli la Kennedy Musonda kabla ya Simba kuchomoa dakika ya 9 kupitia kwa Kibu Denis.
Kipindi cha pili Yanga ikashindilia kwa mabao ya Maxi Nzengeli aliyefunga mawili dakika ya 64 na 77, Stephane Aziz Ki dakika ya 73 na Pacome Zouzoua dakika ya 87 kwa mkwaju wa penati.
Tazama highlights....
Watch video Simba SC 1- 5 Yanga | Highlights | NBC Premier League - 05/11/2023 online, duration hours minute second in high quality that is uploaded to the channel Azam TV 06 November 2023. Share the link to the video on social media so that your subscribers and friends will also watch this video. This video clip has been viewed 2,009,017 times and liked it 8.4 thousand visitors.