Mashujaa FC ya Kigoma imepanda daraja kucheza ligi kuu ya NBC msimu ujao kwa kuichapa na kuishusha daraja Mbeya City kwa jumla ya magoli 4-1 baada ya mechi mbili.
,Katika mchezo huu wa marudiano uliopigwa leo Dimba la Sokoine, Mbeya, Mashujaa imeondoka na ushindi wa bao 1-0 dakika ya 87 likifungwa na John Budeba na mchezo wa mkando wa kwanza, Mashujaa ilishinda mabao 3-1 mjini Kigoma.
Katika tukio hili pia, kocha wa magolikipa wa Mashujaa amekula kadi nyekundu kwa kosa la kumpiga kwa makusudi kocha wa Mbeya City, Abdallah Mubiru,
Watch video Highlights | Mbeya City 0-1 Mashujaa FC | Play-Off 2nd Leg - 24/06/2023 online, duration hours minute second in high quality that is uploaded to the channel Azam TV 24 June 2023. Share the link to the video on social media so that your subscribers and friends will also watch this video. This video clip has been viewed 91,022 times and liked it 410 visitors.