Kocha Gamond wa Yanga asifu uwezo wa Coastal Union

Published: 26 April 2024
on channel: Azam TV
1,459
28

Kocha wa Yanga SC, Miguel Gamond amesema mechi yao ya Jumamosi ya NBC Premier League dhidi ya Coastal Union itakuwa ngumu kama ilivyozoeleka kwa timu hizo zinapokutana.

Golikipa wa timu hiyo Abutwaleeb Mshery naye amesema wanatamani kuona wakiibuka na ushindi kwenye mchezo huo.


Watch video Kocha Gamond wa Yanga asifu uwezo wa Coastal Union online, duration hours minute second in high quality that is uploaded to the channel Azam TV 26 April 2024. Share the link to the video on social media so that your subscribers and friends will also watch this video. This video clip has been viewed 1,459 times and liked it 28 visitors.