Magoli yote | Ihefu SC 3-2 Mwadui FC | VPL 20/02/2021

Опубликовано: 20 Февраль 2021
на канале: Azam TV
13,120
83

Timu ya Ihefu SC imeendelea kupambania ‘roho yake’ kwenye ligi kuu baada ya leo kupata ushindi wa mabao 3-2 dhidi ya Mwadui FC, katika mchezo uliopigwa kwenye Dimba la Highland Estate, Mbarali mkoani Mbeya.

Magoli ya Ihefu yamefungwa na Andrew Simchimba na Omary Hassan aliyefunga mawili huku Mwadui wakipata magoli yao kupitia kwa mkongwe Uhuru Seleman na Denis Richard.

Haya hapa magoli yote.

Tufuatilie kwenye mitandao mingine ya kijamii:-
►INSTAGRAM:   / azamtvtz  
►INSTAGRAM:   / azamsports2  
►TWITTER:   / azamtvtz  
►FACEBOOK:   / azamtvtz  
►WEBSITE: http://www.azamtv.co.tz


Смотрите видео Magoli yote | Ihefu SC 3-2 Mwadui FC | VPL 20/02/2021 онлайн, длительностью часов минут секунд в хорошем качестве, которое загружено на канал Azam TV 20 Февраль 2021. Делитесь ссылкой на видео в социальных сетях, чтобы ваши подписчики и друзья так же посмотрели это видео. Данный видеоклип посмотрели 13,120 раз и оно понравилось 83 посетителям.