MKUTANO MKUU YANGA: “Tumepokea maombi na tumeridhia kuyaingiza katika mpango wa uendelezaji wa eneo hili la Jangwani” maneno ya Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais, TAMISEMI, Mohamed Mchengerwa akijibu ombi la Yanga SC kuhusu eneo la ujenzi wa uwanja wao.
Ni Mkutano Mkuu wa Yanga unaofanyika leo kwenye Ukumbi wa Kimataifa wa Mikutano wa Julius Nyerere, Dar es Salaam.
#YangaAGM2024 #YangaSC2024 #YangaSC #AGM2024 #MkutanoMkuuYanga #MkutanoMkuuYanga2024
Смотрите видео MKUTANO MKUU YANGA | Serikali yaridhia Yanga kujenga uwanja, yaipa masharti онлайн, длительностью часов минут секунд в хорошем качестве, которое загружено на канал Azam TV 09 Июнь 2024. Делитесь ссылкой на видео в социальных сетях, чтобы ваши подписчики и друзья так же посмотрели это видео. Данный видеоклип посмотрели 17,816 раз и оно понравилось 152 посетителям.