#KufuzuAFCON2025: Mkongwe Athuman Idd Chuji yeye hana mashaka kabisa na kundi ‘H’ kwenye mechi za #KufuzuAFCON2025.
Nyota huyo wa zamani anawakumbusha wachezaji wa Taifa Stars kuweka bidii kwa sababu tayari washauonja utamu wa michuano hiyo mikubwa Afrika kwa ngazi ya taifa.
Jumatano ya Septemba 4, Stars itavaana na Ethiopia katika dimba la Benjamin Mkapa na mechi hiyo itakuwa LIVE #AzamSports1HD saa 1:00 usiku
#AFCON2025 #KufuzuAFCON2025 #AFCONQ #AFCONQualifiers #TaifaStars #Tanzania #Ethiopia
Смотрите видео Mkongwe wa soka Chuji awakumbusha wachezaji wa Taifa Stars kuweka bidii kufuzu AFCON 2025 онлайн, длительностью часов минут секунд в хорошем качестве, которое загружено на канал Azam TV 02 Сентябрь 2024. Делитесь ссылкой на видео в социальных сетях, чтобы ваши подписчики и друзья так же посмотрели это видео. Данный видеоклип посмотрели 756 раз и оно понравилось 5 посетителям.