Ubongo Kids Webisode 32 | Jeshi la Mbu | Malaria

Published: 16 April 2016
on channel: Ubongo Kids Kiswahili
2,889,753
5.2k

Kiduchu ni mpelelezi na anajaribu kupeleleza ni jinsi gani watu wengi wamepata homa katika kijiji cha Kokotoa.

Angalia webisode za msimu wa pili wa Ubongo Kids hapa hapa!

Ubongo Kids Webisode 32 - "Jeshi la Mbu" - the Tanzanian animated cartoon series as seen on TBC1!

Jifunza kuhusu viungo vya mwili kupitia episode hii ya Ubongo Kids, Africa's clever new cartoon!

Angalia Ubongo Kids kila jumamosi na jumapili saa 3 asubuhi TBC1! Na pata webisodes zote kupitia: http://www.ubongokids.com

Ubongo Kids ni mfululizo wa hadithi za kusisimua iliyo katika mfumo wa elimu-burudani kutoka UBONGO MEDIA ya Dar es Salaam. Inaonyeshwa kila jumamosi na jumapili saa 3 asubuhi TBC1.

http://ubongokids.com
   / ubongokids  
  / ubongokids  
  / ubongotz  

An edutainment cartoon made in Africa, for Africa.


Watch video Ubongo Kids Webisode 32 | Jeshi la Mbu | Malaria online, duration hours minute second in high quality that is uploaded to the channel Ubongo Kids Kiswahili 16 April 2016. Share the link to the video on social media so that your subscribers and friends will also watch this video. This video clip has been viewed 2,889,753 times and liked it 5.2 thousand visitors.