Wanaharakati watatu waitaka mahakama kuharamisha mawaziri wa Rais kwa kukiuka vipengee vya katiba

Опубликовано: 30 Август 2024
на канале: NTV Kenya
3,215
9

Wanaharakati watatu wanaitaka mahakama kuharamisha baraza la mawaziri la Rais William ruto kwa kukiuka vipengee kadhaa vya katiba. Eliud Karanja, daktari Magare Gikenyi na seneta wa busia Okiya Omtatah wanataka mahakama kuwazuia mawaziri husika kufanya kazi zozote afisini hadi kesi iamuliwe.

Subscribe and watch NTV Kenya live for latest Kenyan news today and everyday as told by Kenyans. Get the Kenya news updates, discussions and other exciting shows.

Website: https://www.ntvkenya.co.ke || Paper: Daily Nation || Twitter: @ntvkenya || Facebook: NTV Kenya || Instagram: NTV Kenya


Смотрите видео Wanaharakati watatu waitaka mahakama kuharamisha mawaziri wa Rais kwa kukiuka vipengee vya katiba онлайн, длительностью часов минут секунд в хорошем качестве, которое загружено на канал NTV Kenya 30 Август 2024. Делитесь ссылкой на видео в социальных сетях, чтобы ваши подписчики и друзья так же посмотрели это видео. Данный видеоклип посмотрели 3,215 раз и оно понравилось 9 посетителям.